Best Blogger TipsSoon

Sonntag, 11. März 2012

TZMPAKAAU

Milipuko yaua Nairobi.
Explosion kills in Nairobi.
Inaarifiwa kuwa maguruneti kama manne yalirushwa kutoka kwenye gari dhidi ya kituo cha basi Machakos Station mjini Nairobi ambacho kilikuwa kimejaa wateja.Inaarifiwa watu 5 wamefariki na  zaidi ya 40 kujeruhiwa.Shambulio lilitokea jumamosi saa mbili usiku.
One of the victims of Machakos explosions rushed to hospital .
5 people have been killed and more than 40 people have been injured on Machakos bus station in Nairobi yesterday.The incident happened after more than 4 granades were  thrown on the bus station which at the moment was full of people.
Vyanzo:BBC na TZMPAKAAU

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen