Mahakama ya Canadian imekataa ombi la rufaa kutoka kwa mshukiwa huyo aliyepinga kurudishwa kwao Rwanda akisema hatapata haki nchini huko.
Mugesera anakabiliwa na mashtaka ya kutoa matamshi ya kuchochea genocide na uhalifu dhidi ya binadamu.
Inasemekana hapo mwaka 1992 mbele ya kilichokuwa chama tawala cha wahutu MRND anadaiwa kusema kwamba watusi wauawe akiwaita 'mende'.
Mwenyewe amekanusha madai hayo akisema matamshi yake yametafsiriwa vibaya.
Kwa mda wa miaka 16 amekuwa akipinga mahakamani hatua hiyo ya kumrudisha Rwanda akidai huko angeteswa au hata kuuawa.
Vyanzo:TZMPAKAAU,INDEPTH AFRICA MAGAZINE na BBC
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen