Best Blogger TipsSoon

Samstag, 21. Januar 2012

TZMPAKAAU

MILIPUKO KAMA ISHIRINI  IMETIKISA KANO NIGERIA
(SEVERAL EXPLOSIONS HAVE ROCKED THE CITY OF KANO NIGERIA WHEREBY  AT LEAST 160 PEOPLE HAVE LOST THEIR LIVES)
Watu kadhaa wameripotiwa kuuawa kwenye milipuko iliyotokea katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria.

Vituo vya Polisi pamoja na makao makuu ya Polisi eneo hilo ni miongoni mwa sehemu zilizolengwa katika mashambulizi hayo.
Milio ya risasi pia imesikika katika sehemu kadhaa.
Kundi la kiislamu la Boko Haram limesema ndilo lililotekeleza mashambulizi hayo.
Vyanzo:BBC,TZMPAKAAU na REUTERS


Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen