Best Blogger TipsSoon

Donnerstag, 28. Juli 2011

TZMPAKAAU

  Tatizo la umeme Tanzania ni lakutengenezwa

Deo  Filikunjombe

Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe, amesema tatizo la umeme ni la kutengenezwa kwani anao ushahidi unaoonyesha kuwa Wizara ya Nishati na Madini inapinga na haitaki kuendeleza miradi ya Liganga na Mchuchuma kwa ajili ya kuendeleza nishati hiyo.

“Mhesimiwa Mwenyekiti, tatizo la umeme ni tatizo la kutengenezwa. Viashiria vyote vinaonyesha kuwa kuna watu wachache wananufaika serikalini na hilo tatizo.

Kwa mfano, kamati yangu ya Hesabu ya Mashirika ya Umma, ina ushahidi kwamba, Wizara ya Nishati na Madini inapinga na haitaki kuendeleza miradi hii ya Liganga na Mchuchuma,” alisema.

Vyanzo:TZMPAKAAU,IPPMEDIA

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen