
.jpg)
Katibu mkuu wa CHADEMA DK.Wilboard Slaaa
Hatua hiyo ya Chadema imelenga kujiimarisha katika maeneo ya vijijini, ikiwa ni pamoja na kufuta utamaduni wa baadhi ya viongozi wa chama tawala kupita bila kupingwa katika chaguzi mbalimbali.Chadema kimeingia katika Jimbo la Spika Makinda la Njombe Kusini katika ziara ya viongozi wa chama hicho katika mkoa wa Njombe.
Ndugu.Thomas Nyimbo
Akizungumza jana na wakazi wa Kata ya Mtwango, Tarafa ya Makambako Wilaya ya Njombe, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Njombe Magharibi (sasa mhamasishaji wa Chadema Mkoa wa Njombe), Thomas Nyimbo, alisema tayari amepokea kadi 10,000 kutoka makao makuu ya chama hicho kwa ajili ya kuzigawa kwa wanachama wapya wanaojiunga na Chadema.
Vyanzo:TZMPAKAAU na IPPMEDIA
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen