Best Blogger TipsSoon

Samstag, 22. Oktober 2011

TZMPAKAAU

THIS WEEK IN PICTURES
WIKI KATIKA PICHA
Mounted police try to stop Occupy Wall Street participants from breaking through barricades and spilling onto the street at Times Square in New York on Oct. 15. Thousands of demonstrators protesting corporate greed filled Times Square and dozens were arrested. The Occupy Wall Street movement went global, with groups from Asia to Europe, and in every U.S. state, staging demonstrations and other actions.Police waliokuwa juu farasi wakijitahidi kuwazuia waandamanaji wanapinga vitendo vya kibepari vinavyofanywa na benki za marekani)



A flock of birds flies near the Drum Tower, located on the central axis of the Forbidden City, in Beijing, China, Oct. 20.

The race car of driver Will Power, left, goes airborne during the IZOD IndyCar World Championship race at the Las Vegas Motor Speedway in Nevada, Oct. 16. Two-time Indianapolis 500 champion Dan Wheldon died in the fiery 15-car crash (Mmoja wa madereva wa magari haya ya mashindano alipoteza maisha yake baada ya magari 15 kugongana kwa pamoja)

Revolutionary fighters celebrate the capture of Sirte, Libya, and the death of Moammar Gadhafi, Oct. 20. The ousted Libyan leader was killed when forces overwhelmed his hometown, the last major bastion of resistance two months after his regime fell. Amid the fighting, a NATO airstrike blasted a fleeing convoy that fighters said was carrying Gadhafi.(Wanajeshi wa serikali ya mpito ya Libya wakishangilia  kuutwaa mji wa Sirte na kuuwawa kwa kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Muamar Gaddafi.)



Thais read newspapers at their flooded home in Bangkok near the Chao Phraya river on Oct. 16. (Kama walivyokutwa na kamera ni familia ya Thais wakisoma magazeti na hapo chini ni maji ya mafuriko)
 
A released Palestinian prisoner embraces her daughters in the West Bank city of Ramallah, Oct. 18. Hamas agreed to release Israeli soldier Gilad Shalit in exchange for 1,027 Palestinian prisoners, many of them serving life sentences for deadly attacks on Israelis. The arrivals of the prisoners set off ecstatic celebrations in the West Bank and Gaza Strip.(Mfungwa wa kipalestina aliyeachiliwa akiwakumbatia watoto wake katika mji wa Ramallah.Kundi lenye msimamo mkali la Hamas lilikubali kumwachilia mfungwa mmoja wa Israel Gilad Shalit kwa masharti ya kuachiliwa huru kwa wafungwa 1027 wa kipalestina)

A first-year medical student runs while seniors spray him with different types of sauces, liquids and flour as part of an annual tradition during a celebration in honor of their patron Saint Lucas at Granada University in Granada, Spain, Oct. 19.(Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza nchini Spain akimwagiwa nyanya za kopo na wanafunzi wenyeji kama sehemu ya utamaduni waliojijengea wanafunzi hao ili kumuenzi mmoja wa waangalizi wa chuo hicho Lucas ....chuo chenyewe kinaitwa Granada University.)

 

A model loses her balance on the runway as she presents a creation by Japanese fashion designer Sara Arai during the Araisara 2012 spring/summer collection at Tokyo fashion week, Oct. 20 in Tokyo.(Ooh angalia usianguke.....ni mwanamitindo aliyetaka kulamba ardhi wakati akinadi bidhaa ta mwanamitindo wa Japani Sara Arai,Tokyo nchini Japani wakati wa wiki ya mitindo.)


Novice Bhutanese monks rest after hours of prayer at the Dechen Phodrang monastery Oct. 18, in Thimphu, Bhutan. About 375 monks reside at the government-run monastery that doubles as a child care facility for underprivileged and orphaned males. The young monks wake up at 5 a.m. and average about 10 hours of study a day.(Watawa wa dini ya Budha wakipumzika baada ya sala  na kazi....karibu watawa 375 wanaishi katika kituo hiki kinachoendeshwa na serikali kinachowatunza watoto wengi wa kiume yatima na wanaotoka katika mazingira magumu.)
The body ex Libyan leader  Col Gaddafi in Misrata
(Mwili wa kanali Gaddafi huko Misrata ukishuhudiwa na mamia ya wananchi wa Libya)

A protester throws a molotov cocktail towards riot police during a demonstration in Athens(Waandamanaji nchini ugiriki wakirusha kijibomu kilichotengenezwa kupitia mvinyo).

Riot policemen assist a colleague who caught fire after being hit by a petrol bomb(Polisi wa kutuliza ghasia nchini ugiriki wakimsaidia mwenzao aliyepigwa  bomu la petroli)
A view of the drain where Muammar Gaddafi was hiding before he was captured in Sirte(Hapa ndio palikuwa makazi ya mwisho ya Kanali )


A Libyan National Transitional Council (NTC) fighter stands near drainage pipes where ousted Libyan leader Muammar Gaddafi was captured in the coastal city of Sirte(Mpignaji wa serikali ya mpito ya Libya akiwa mbele ya shimo ambamo Gaddafi alipatikana)

Queen met an Australian basketball player(Malkia Elizabeth alipokutana na mmoja wa wacheza mpira wa kikapu nchini Australia mwanadada huyo ana urefu wa zaidi ya mita 2)

Asia's tallest man and the shortest man in China play basketball at a school in Macao. Zhang Huan, who measures 2.38 metres (7ft9in), staged an exhibition match for pupils at Pui Ching School with Xu Guoyuan, who is 1.02 metres tall (3ft4in).(Mtu mrefu kuliko wote bara la Asia akicheza mpira wa kikapu na mtu mfupi kuliko wote nchini China)

Sources:TZMPAKAAU and TELEGRAPH 











 

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen