Deadly quake in Himalayan region
(Tetemeko lenye ukubwa wa richtcher 6.8 limekumba maeneo ya Himalaya)
The tremors were felt as far as in India capital Delhi,Dhaka Bangladeshi capital were people rushed out of office buildings in panic(Mitetemo ilifika mpaka mji mkuu wa India na Bangladesh ambapo watu wengi walilazimika kutoka nje ya majengo ya ofisi zao )
The remote area of Sikkim was the most affected by the quake but the area is cutt off and there is little information about the demage (Eneo la Sikkim ndilo lililoathirika sana ,na kutokana na miundo mbinu mibovu hasa ya mawasiliano hakuna taarifa za kutosha kuhusu uharibifu uliotokea)
Dozens of people have been killed after a magnitude 6.8 earthquake shakes north eastern India,Nepal and Tibet.Rain and landslides are hidering search and rescue operations there and officials in Sikkim fear that toll could rise further.The earth quake resulted also to the power cuts in the regions.
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen