Baada ya sakata la mgao mkali wa umeme kuwa kitu cha kawaida hapa nyumbani Tanzania sasa uhaba mkali wa nishati ya mafuta sasa nao umekuja
- mabasi ya mikoani yaahirisha safari zake,abiria wengine wakwama njiani
- nauli za daladala,mabasi na hata ndege sasa ni juu
- Serikali yadai italipatia ufumbuzi
- Foleni za kutisha katika vituo vya mafuta nchi nzima
- Bei ya lita moja ya mafuta ya petroli ni Tsh 3500
Foleni katika kituo kimoja cha mafuta mkoani Iringa
Kituo kimoja cha mafuta jijini mbeya kama kinavyoonekana hamna huduma
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen