Best Blogger TipsSoon

Mittwoch, 29. Juni 2011

TZMPAKAAU

Watanzania msibaguane kwa dini

Balozi wa U.S.A nchini Tanzania
Balozi wa Marekani nchini, Alphonso Lenhardt, amewataka Watanzania kuwa wamoja na kuachana na tabia ya kubaguana kwa misingi ya dini zao.
Lenhardt alitoa ushauri huo jana jijini Dar es Salaam katika ofisi za ubalozi huo alipokutana na baadhi ya viongozi wa dini.
Alisema dini ni kitu cha kuiweka jamii katika umoja na sio kuisambaratisha na kusema kuwa Tanzania imejaliwa kuwa na misingi imara ya watu kuheshimiana kupitia dini zao.

Chanzo:Ippmedia,TZMPAKAAU

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen