Best Blogger TipsSoon

Samstag, 19. November 2011

TZMPAKAAU

SAIF AL ISLAM CAPTURED IN LIBYA
(MTOTO WA PILI WA MUAMMAR GADDAFI(SAIF AL ISLAM) AKAMATWA)
The minister, Mohammed al-Allagui, said Saif al-Islam had been arrested in southern Libya, reports say.

The former leader's son is the last key member of the Gaddafi family to be captured or killed in Libya.Saif Al Islam was the second son of Muammar Gaddafi and Safia Farkash(second wife of Muammar Gaddafi),He was the part of his fathers inner circle performing public relations and diplomatic roles on behalf of his father.During his fathers reighn,he was the second most recongnized official in Libya and was mentioned as possible successor,though he himself denied this.Born on 25th June 1972. 
Waziri wa serikali ya mpito ya Libya Mohammed al-Allagui,amesema Saif al Islam amekamatwa kusini mwa Libya.Saif Al Islam ni mtu wa mwisho na  muhimu kabisa kutoka familia ya Kanali  Gaddafi kukamatwa.Saif Al Islam alikuwa mtu wa pili maarufu katika kipindi cha utawala wa baba yake Muammar Gadaffi, na alikuwa akitajwa kama mrithi wa Kanali.Saif Al Islam alizaliwa mwaka tarehe 25.6.1972.
TZMPAKAU BBC and AL JAZEERA

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen