Best Blogger TipsSoon

Freitag, 30. September 2011

TZMPAKAAU

Libya NTC delegation set to visit Kikwete
Libyen Delegation zu besuchen President Kikwete
(Wa wakilishi wa serikali ya mpito ya Libya kumtembelea Kikwete)


Tanzania expects to receive a delegation of the interim National Transitional Council of Libya (NTC) early October to deliver its message to President Jakaya Kikwete on how they are ruling Libya.
NTC, which has attracted and obtained recognition at the United Nations after getting 114 votes against 17, has not fully been recognised by the Southern African Development Community (Sadc) to which Tanzania is a member.

Left President Kikwete of Tanzania,right with his hand on head is the partially recongnised Prime minister of LNTC Mahmoud Jibril(Kushoto ni Rais Kikwete na Kulia mwenye mkono kichwani ni Waziri mkuu wa serikali ya mpito ya Libya  Mahmoud Jibril)

Tanzania inatarajia kutembelewa na wawakilishi wa serikali ya mpito ya nchini Libya mwanzoni mwa mwezi wa kumi.Serikali ya mpito ya Libya imekwishapata utambulisho na baraka kutoka U.N, ambapo serikali hiyo ilipata kura 114 za ndiyo na 17 za hapana kutoka mataifa mbali mbali duniani.Umoja wa mataifa ya kusini mwa bara la Afrika,umoja  ambao Tanzania ni mwanachama bado hawaitambui serikali hiyo ya mpito.


Vyanzo:Gurdian,Ippmedia na TZMPAKAAU,

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen