Best Blogger TipsSoon

Donnerstag, 1. November 2012

TZMPAKAAU

TAFADHALI TOA MAONI YAKO KUHUSU MABADILIKO YA KATIBA 

Tume ya Mabadiliko ya Katiba  inapokea maoni ya wananchi kupitia mikutano ya ana kwa ana;SMS kwenye namba 0715 (Tigo) /0767 (Vodacom) / 0787 (Airtel) / 0774 (Zantel) – 08 15 08; barua pepe (maoni@katiba.go.tz); njia za posta (S.L.P. 1681, Dar es Salaam au S.L.P. 2775, Zanzibar); ukurasa wa ‘facebook’ (Tume ya Mabadiliko ya Katiba) na tovuti (http://www.katiba.go.tz/) .

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen