Emrah Erdogan anayeshukiwa kuwa mfuasi wa al shabab na gaidi aliyetega bomu liliojeruhi watu 30 mwezi uliopita mjini Nairobi.
Mtu mmoja anayeshukiwa kuwa ana uhusiano na shambulio la mwezi uliopita katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi amekamatwa nchini Tanzania.
Ilisambaza picha yake na kuomba habari kuhusu mahali alipo.Bw.Erdogan, anayejulikana pia kama Salahuddin al-Kurdi, inaaminika kuwa aliwahi kusafiri kwenda Waziristan huko Pakistan ya kaskazini magharibi mwaka 2010 ambako alijiunga na kundi la wakereketwa wenye imani kali kabla ya kuelekea Somalia mwaka jana, kwa mujibu wa shirika la habari Reuters.
Vyanzo:TZMPAKAAU,The Habari,Michuzi na BBC
Polisi ya Kenya inasema kuwa Emrah Erdogan ni raia wa Ujerumani mwenye asili ya Uturuki.
Kenya inadai kuwa alivuka mpaka mapema mwezi Mayi kutoka Somalia ambako alishiriki mapigano kwa niaba ya kundi la Al Shabab.
Zaidi ya watu 30 walijeruhiwa katika mlipuko ambao wakuu wa Kenya wanasema ulisababishwa na bomu hilo.Polisi ya Tanzania imethibitisha kwa BBC kuwa Bw.Erdogan alikamatwa na kuahidi maelezo zaidi baadaya mda mfupi.
Erdogan ni miongoni mwa watu wanne ambao Polisi ya Kenya imekua ikiwasaka tangu kutokea kwa mlipuko huo.Kenya inadai kuwa alivuka mpaka mapema mwezi Mayi kutoka Somalia ambako alishiriki mapigano kwa niaba ya kundi la Al Shabab.
Zaidi ya watu 30 walijeruhiwa katika mlipuko ambao wakuu wa Kenya wanasema ulisababishwa na bomu hilo.Polisi ya Tanzania imethibitisha kwa BBC kuwa Bw.Erdogan alikamatwa na kuahidi maelezo zaidi baadaya mda mfupi.
Ilisambaza picha yake na kuomba habari kuhusu mahali alipo.Bw.Erdogan, anayejulikana pia kama Salahuddin al-Kurdi, inaaminika kuwa aliwahi kusafiri kwenda Waziristan huko Pakistan ya kaskazini magharibi mwaka 2010 ambako alijiunga na kundi la wakereketwa wenye imani kali kabla ya kuelekea Somalia mwaka jana, kwa mujibu wa shirika la habari Reuters.
Vyanzo:TZMPAKAAU,The Habari,Michuzi na BBC
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen