Best Blogger TipsSoon

Dienstag, 19. Juni 2012

TZMPAKAAU

MBUNGE AADHIBIWA KWA KUDAI RAIS NI KIONGOZI DHAIFU
Mbunge wa jimbo la Ubungo bw.John Mnyika akitoka nje ya viunga vya bunge Dodoma baada ya kukataa adhabu ya kufuta kauli  iliyodai kuwa Rais Kikwete ni kiongozi dhaifu Mbunge alitoa kauli hiyo wakati akichangia bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013.
Huu ni ufafanuzi wa mbunge juu ya kauli yake










Vyanzo:TZMPAKAAU , Global Publishers na Mjengwa


Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen