Best Blogger TipsSoon

Donnerstag, 5. April 2012

TZMPAKAAU

GODBLESS LEMA AVULIWA UBUNGE

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema leo amevuliwa kiti cha Ubunge baada ya kushindwa katika kesi ya kupinga ubunge wake iliyotolewa hukumu leo.
Kesi hiyo iliyofunguliwa na makada watatu wa CCM, Agness Mollel, Mussa Mkanga na Happy Kivuyo ambao walikuwa wanamtuhumu mbunge huyo kwamba alitoa kauli za udhalilishaji, matusi na kashfa kwa aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo hilo kwa tiketi ya CCM, Dk Batilda Burian imetolewa hukumu na jaji Gabriel…
Vyanzo:Globalpublishers  Michuzi  TZMPAKAAU na Ippmedia

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen