River (Mbamba Bay), katika wilaya ya Namtumbo, mkoani
Ruvuma kwa kuingia mkataba na kampuni ya Urusi ya ARMZ
Uranium Holding.
Akipokea taarifa hiyo kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Diana Chilolo, alisema mradi huo unatajia kuunufaisha taifa, kupitia Sheria ya madini ya 2010 na utakuwa mradi mkubwa wa kwanza wa madini nchini.
Alisema katika mkataba baina ya Serikali na kampuni hiyo, hakutakuwepo na migogoro ya kutokana na Serikali kujipanga katika malipo ya wakazi wanaoishi karibu na mradi huo.
“Tumeitaka Serikali iwape haki za msingi wakazi wa maeneo hayo, kwa kuwapa fidia ya mali zao, ikiwemo mashamba, nyumba, hatutarajii kuona migogoro ya ardhi inatokea kama Mwadui, Geita,” alisema.
Kwa kutambua madhara ya kiafya kama kansa ya mapafu na kansa zinginezo achilia mbali athari mbaya kabisa za kimazingira TZMPAKAAU inaupinga mradi huu kabisa.Toa maoni yako....
Vyanzo:TZMPAKAAU,Ippmedia,Wiki na India Talkies
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen