Best Blogger TipsSoon

Sonntag, 18. März 2012

TZMPAKAAAU

Dk.Slaa aiongeza nguvu  CHADEMA Arumeru Mashariki
Dk Slaa akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Arumeru mashariki kwa tiketi ya CHADEMA bw.Joshua Nassari,mara  baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa KIA Kilimanjaro .
 Haya ni mapokezi ya Dk.Slaa mara alipowasili kijiji cha Nguruma Arumeru mashariki akitokea Mwanza,Dk Slaa amekwenda Arumeru na nia moja tu ,kumnadi bw.Joshua Nassari.
 Hapa ni mgombea  ubunge kwa  tiketi ya CHADEMA  bw.Joshua Nassari, na katibu mkuu wa CHADEMA Dk.Wilboard Slaa wakihutubia huko mamia ya wapenzi wa chama hicho huko ,Arumeru Mashariki.
Vyanzo:TZMPAKAAU,MWANANCHI na MICHUZI

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen