HARUSI YA PRINCE WILLIAM NA CATHERINE MIDDLE TON
PRINCE WILLIAM AND PRINCESS CATHERINE MIDDLETON'S ROYAL
WEDDING
Prince William wa wales alizaliwa mwaka 1982 baba yake ni Prince Charles wa Wales na mama yake ni marehemu princes Diana wa Wales ni mjukuu wa 3 wa Malkia Elizabeth wa 2.....basi mama yake alimzoesha kuishi kawaida na alikwenda nae mara kadhaa kutembelea waathirika wa UKIMWI na kutembelea watu wasio na makazi na mambo mengine mengi kwa saabu mama yake alitaka azoee maisha ya kawaida na mama yake alitaka mwanae asikose kuona upande mwingine wa maisha.Na inawezekana hii ndiyo iliyomfanya ajisikie msukumo wa kufanya kazi anayoifanya sasa, kwa sasa Prince William ni pilot wa helkopta za uokozi .Ok but leo cha muhimu ni kwamba Prince William ameopoa chombo .....au amepata mwenzi wa maisha bi Catherine Middleton
Hapa walimuuliza William prince wa Wales je utakuwa na Kate kwa shida na raha,katika milima na mabonde kwenye mvua na jua mpaka kifo kitakapowatenganisha? na yeye akajibu "YES"
Hapa Kate aliulizwa maswali yale yale aliyoulizwa prince na bila kusita Kate alijibu "YESSSSSSSSSSSSS"inayoonekana hata katika uso wake
Basi baada ya viapo kitu kilichosubiriwa siku zote na watizamaji kutoka sehemu mbalimbali duniani hapa kimetimia unajua wenzetu wanasemaje "THE PUBLIC KISS OF HIS AND HER ROYAL HIGHNESS
PRINCE AND PRINCESS OF WALES"
Baadhi ya watu waliokuwa na msisimko wakati wa harusi hiyo ya kifalme
Basi hapa bwana na bibi harusi wakielekea kwenye kasri la malkia au kwa mama mkwe kasri ya Buckingham Palace London.
Buckingham Palace London.
Basi huyu jamaa naye alikuwa mgeni rasmi jina lake ni Rowan Atkinson amependeza sio kama tulivyomzoea
Basi bwana Beckham na Victoria walikuwepo
Keine Kommentare:
Kommentar veröffentlichen