Best Blogger TipsSoon

Montag, 30. April 2012

TZMPAKAAU

WANAJESHI WA MALI WAPINGA KUTUMWA KWA VIKOSI VYA ECOWAS(MALI COUP LEADER REJECTS ECOWAS INTERVENTION IN MALI)
Viongozi wa jeshi la Mali wamekerwa na mpango wa kutuma kikosi cha wanajeshi 3,000 nchini humo, kulinda kipindi cha mpito cha kurejesha serikali ya kiraia na hatimae kuisaidia serikali kupambana na wapiganaji walioteka eneo la kaskazini.
Kapteni Sanogo.
Baada ya ECOWAS kuiwekea Mali vikwazo vya kiuchumi kufuatia mapinduzi, viongozi wa mapinduzi walikubali kukabidhi madaraka kwa serikali ya mpito inayoongozwa sasa na Dioncounda Traore, aliyekuwa mkuu wa bunge.
Lakini inaelekea viongozi wa jeshi bado wana nguvu, na wanaogopa kikosi cha ECOWAS kitapunguza madaraka yao.
Vyanzo:TZMPAKAAU,BBC na the habari

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen