Best Blogger TipsSoon

Freitag, 3. Februar 2012

TZMPAKAAU

ANGER FLARES IN EGYPT AFTER 79 DIE IN SOCCER RIOT
(HASIRA IMEZUKA NCHINI MISRI KUFUATIA VIFO VYA WATU 79 KWENYE UWANJA WA MPIRA)

 Egyptians, angry at reports of inadequate security at a soccer match where 79 people died Wednesday in a riot, clashed with police, leaving two dead in the city of Suez and at least 900 injured in Cairo, officials said Friday.


(Wa misri  waliokasirishwa na ulinzi legelege kutoka kwa serikali yao kupitia wizara ya mambo ya ndani  uliopelekea vifo vya watu 79 katika mechi ya mpira siku ya Jumatano, waliandamana  na kukabiliana na polisi ambapo watu wawili wamefariki na wengine 900 kujeruhiwa  katika mji wa Suez).
Vyanzo:TZMPAKAAU,CNN,BBC na THE GURDIAN

Keine Kommentare:

Kommentar veröffentlichen