G Nako kama ma radio presenters wetu wangekuwa wamepata kitu kinaitwa ukombozi wa fikra basi wangekuwa wakiipiga hii track kila baada ya lisaa lakini nahisi bado ukombozi wa kifikra unahitajika...anyway endelea kumwagika mimi nnakusoma.
Kama ukweli ndio unaouza basi we are on top.....maskini cye, watu wako tayari kulipa pesa kibao kununua uwongo....Ukombozi wa fikra bado unahitajika
G Nako kama ma radio presenters wetu wangekuwa wamepata kitu kinaitwa ukombozi wa fikra basi wangekuwa wakiipiga hii track kila baada ya lisaa lakini nahisi bado ukombozi wa kifikra unahitajika...anyway endelea kumwagika mimi nnakusoma.
AntwortenLöschenKama ukweli ndio unaouza basi we are on top.....maskini cye, watu wako tayari kulipa pesa kibao kununua uwongo....Ukombozi wa fikra bado unahitajika
AntwortenLöschen